Makamu Mkuu Wa Chuo Kikuu Cha Sokoine Cha Kilimo Prof Raphael Chibunda Awataka Watumishi Wa Kampasi Ya Mizengo Pinda Kufanya Kazi Kwa Ushirikiano

Prof. Chibunda amewataka watumishi wa Chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda kufanyakazi kwa ushirikiano ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi katika kampasi hiyo. Aliyasema hayo alipofanya ziara ya kikazi ya siku mbili katika Kampasi ya Mizengo Pinda Novemba 7 – 8, 2022.

Katika ziara hiyo, Prof. Chibunda alipokea ripoti ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika Kampasi hiyo na kupata fursa ya kutembelea miradi hiyo.

Pia, Prof. Chibunda aliongeza kusema kwamba kupitia serikali ya awamu ya sita imedhamiria kuboresha sekta ya elimu ya juu nchini ikiwemo Kampasi ya Mizengo Pinda.  Kiasi cha pesa takribani bilioni ishirini zimetengwa kwa ajili ya kuboresha na kuendeleza Kampasi ya Mizengo Pinda. Pesa hizo zinatarajiwa kutumika kujenga majengo matatu ambayo ni jengo la Taaluma linalokadiriwa kuchukua wanafunzi zaidi ya elfu mbili (2000) kwa wakati mmoja, maabara za kufundishia pamoja na dahalia.

Related Posts

ten Better Black-jack Web sites 2024: Play Best Black-jack Games on the net for real Money

Blogs Ideas on how to Choose an informed On the internet Blackjack for real Currency United states Websites What are...

Best United states Online casinos: Top American Casino Website Ratings

Blogs Finest Local casino California for Support service Video game Models for Mr. Gamble’s Best Casinos on the internet The...

Better Washington Online casinos inside 2025 Best AZ Playing Websites

Content Realistic Bonuses Popular Posts Greatest Casinos on the internet in australia to own 2025 Respected Online Betting Internet sites...