Rasi wa Kampasi ya Mizengo Pinda Prof Josiah Katani awaongoza wafanayakazi na wanafunzi wa Kampasi ya Mizengo Pinda katika zoezi la upimaji wa usikivu wa masikio

Zoezi la upimaji wa usikivu liliratibiwa na Watalamu kutoka Kitengo cha Elimu Jumuishi na Mahitaji Maalum wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chini ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET).

Mtaalamu wa afy ya masikio Mr Lukonge John akimfanyia vipimo Prof Josiah Katani katika zoezi la upimaji wa usikivu wa masikio

Katika picha ni baadhi ya watumishi wa Kampasi ya Mizengo Pinda waliojitokeza katika zoezi la upimaji wa usikivu wa masikio

Katika picha ni baadhi ya wanafunzi wa Kampasi ya Mizengo Pinda waliojitokeza katika zoezi la upimaji wa usikivu wa masikio

Related Posts

Mwenyekiti wa Bodi, Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Kampasi ya Mizengo Pinda, Dkt. Zacharia Malley aongoza shughuli ya upandaji miti SUA Kampasi ya Mizengo Pinda

Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Kampasi ya Mizengo Pinda, Dkt. Zacharia Malley, ameongoza shughuli...

Final Year Bee Resources Management Students of SUA Mizengo Pinda Campus Defend Special Projects

On February 19, 2026, thirty-eight final year students pursuing a Bachelor of Science in Bee Resources Management at the Mizengo...

Prof. Anna Sikira Urges First-Year Students at Mizengo Pinda Campus to Become Ethical Leaders and Responsible Citizens

Mizengo Pinda Campus, Sokoine University of Agriculture—21 November 2025 Sokoine University of Agriculture (SUA), Mizengo Pinda Campus, has concluded a...