Rasi Wa Ndaki Ya Mizengo Pinda Prof Josiah Katani awataka Wakuu wa Idara wa Kampasi hiyo kutimiza wajibu wao.

Rasi wa Ndaki ya Mizengo Pinda Prof Josiah Katani awataka wakuu wa idara kutimiza wajibu wao. Ameyasema hayo wakati akipokea taarifa za utendaji kazi kutoka katika idara za Uendeshaji na idara za Taaluma za Kampasi hiyo katika kikao cha Wakuu wa Idara kilichofanyika leo tarehe 18 – 10 – 2022.

Pia Prof Katani amewataka wakuu hao kushirikiana vyema ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi katika maeneo yao na kujiwekea malengo.

Related Posts

DC MONGERA APONGEZA UBUNIFU WA SUA KAMPASI YA MIZENGO PINDA MAADHIMISHO YA WIKI YA NYUKI TABORA

Mkuu wa Wilaya ya Kaliua, Mheshimiwa Gerald Mongera, amekipongeza Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Kampasi ya Mizengo Pinda,...

SUA KAMPASI YA MIZENGO PINDA YAZITIKISA SHULE ZA SEKONDARI MLELE: YAHAMASISHA TAALUMA NA KUTANGAZA FURSA ZA UDAHILI

Katika juhudi za kuendeleza hamasa ya kielimu na kusogeza huduma za elimu ya juu karibu na jamii, Chuo Kikuu cha...

SUA Kampasi ya Mizengo Pinda Yachochea Ndoto za Wanafunzi Halmashauri ya Mpimbwe kupitia Ziara ya Hamasa.

Katika jitihada za kusogeza elimu ya juu karibu na jamii na kuibua hamasa ya kimasomo, Chuo Kikuu cha Sokoine cha...