Makamu Mkuu Wa Chuo Kikuu Cha Sokoine Cha Kilimo Prof Raphael Chibunda Awataka Watumishi Wa Kampasi Ya Mizengo Pinda Kufanya Kazi Kwa Ushirikiano

Prof. Chibunda amewataka watumishi wa Chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda kufanyakazi kwa ushirikiano ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi katika kampasi hiyo. Aliyasema hayo alipofanya ziara ya kikazi ya siku mbili katika Kampasi ya Mizengo Pinda Novemba 7 – 8, 2022.

Katika ziara hiyo, Prof. Chibunda alipokea ripoti ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika Kampasi hiyo na kupata fursa ya kutembelea miradi hiyo.

Pia, Prof. Chibunda aliongeza kusema kwamba kupitia serikali ya awamu ya sita imedhamiria kuboresha sekta ya elimu ya juu nchini ikiwemo Kampasi ya Mizengo Pinda.  Kiasi cha pesa takribani bilioni ishirini zimetengwa kwa ajili ya kuboresha na kuendeleza Kampasi ya Mizengo Pinda. Pesa hizo zinatarajiwa kutumika kujenga majengo matatu ambayo ni jengo la Taaluma linalokadiriwa kuchukua wanafunzi zaidi ya elfu mbili (2000) kwa wakati mmoja, maabara za kufundishia pamoja na dahalia.

Related Posts

“juega Gratis A Pine Of Plinko A Couple Of En Modo Demo

Cómo Jugar A Pinus Radiata Of Plinko Two Análisis De Los Angeles Tragaperras” Content Ventajas Y Desventajas Para Pine Of...

Казино Комета официальный Сайт Вход только Регистрация

Комета Казино Oфициальный Сайт Казино Kometa Casino Content как Проходит Процесс Регистрации В Комета Казино? Рабочее Зеркало Kometa Казино —...

Capitolbet Bahis Ve On Line Casino Sitesi

Casino Guess Sitelerinin Adresleri Giriş Adresleri On Line Casino Bet Television Arranged Canlı Maç İzle Content Capitolbet Giriş Lordcasino Giriş...