Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Atembelea Chuo Kikuu Cha Sokoine Cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda

Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Techknolojia, Mh. Omary Juma Kipanga akiteta jambo na mwenyeji wake Rasi wa Ndaki ya Mizengo Pinda, Prof Josiah Katani na mkuu wa wilaya ya  Mlele Mh Sanga pindi alipotembelea katika kampasi hiyo.

Wakati huohuo Mh. Kipanga alipata nafasi ya kuzungumza na watumishi wa SUA, Viongozi wa halmashauri ya Mlele pamoja na wajumbe wa kamati ya siasa ya wilaya.

Mh. Kipanga amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mh Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imedhamiria kuboresha sekta ya Elimu na katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Sua Kampasi ya Mizengo Pinda imetengewa kiasi cha shilingi Billioni ishirini kwaajili ya ujenzi wa majengo matatu, Jengo la Taaluma, Jengo la Mabweni na Jengo la Daharia.

Pia, Mh. Kipanga amemtaka Rasi wa Ndaki Prof. Josiah Katani kusimamia vyema  fedha inayotolewa na Mh. Rais wa Jamhuri Muungano wa Tanzania iendane na thamani ya majengo yatakayojengwa kwa maendeleo ya sekta ya Elimu na Nchi kiujumla.

Related Posts

“juega Gratis A Pine Of Plinko A Couple Of En Modo Demo

Cómo Jugar A Pinus Radiata Of Plinko Two Análisis De Los Angeles Tragaperras” Content Ventajas Y Desventajas Para Pine Of...

تجربتي مع استخدام هكر 1xbet مجانا

فهم هكر 1xbet مجانا: دليل شامل Content هكر لعبة Accident 1xbet مجانا ازاي تكسب 1500$ يوميا Formula Behavior 1xbet معلومة...

Juego Plinko Es Real O Estafa? Plinko Ha Sido Seguro? Plinko Casino

Plinko: ¿esta Aplicación Es Confiable To Una Estafa?” Content Estrategias De Entrenamiento Plinko: Como Esconden Mis Juegos Adonde Supuestamente Puedes...