Rasi Wa Kampasi Ya Mizengo Pinda Prof. Josiah Katani afanya ukaguzi wa maeneo ya shamba la mafunzo lilipo Vilolo ili kuthibiti uingizwaji wa mifugo unaofanywa na wakulima wanaolizunguka eneo hilo

Katika zoezi hilo, Prof. Katani aliambatana na Naibu Rasi wa Ndaki Mipango, Utawala na Fedha Prof. Jeremia Makindara, Bwana Shamba wa Kamapasi ya Mizengo Pinda ndugu Tambalu Alphonsi pamoja na Mhadhiri Msaidizi katika fani ya Misitu ndugu Evaristus Magani.

Ukaguzi huo ulilenga kuangalia namna bora ya uboreshwaji wa uwekaji wa mabango ya makatazo ya uingizwaji wa mifugo katika eneo la Shamba la mafunzo unaofanywa na wakulima wanaolizunguka eneo hilo.

Rasi wa kampasi ya Mizengo Pinda Prof. Josiah Katani akipokea maelezo kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Usalama Kampasi ya Mizengo Pinda ndugu David Kayombo alipotembelea katika shamba la mafunzo ya chuo hicho lilipo Vilolo Mkoani Katani.

Related Posts

Mwenyekiti wa Bodi, Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Kampasi ya Mizengo Pinda, Dkt. Zacharia Malley aongoza shughuli ya upandaji miti SUA Kampasi ya Mizengo Pinda

Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), Kampasi ya Mizengo Pinda, Dkt. Zacharia Malley, ameongoza shughuli...

Final Year Bee Resources Management Students of SUA Mizengo Pinda Campus Defend Special Projects

On February 19, 2026, thirty-eight final year students pursuing a Bachelor of Science in Bee Resources Management at the Mizengo...

Prof. Anna Sikira Urges First-Year Students at Mizengo Pinda Campus to Become Ethical Leaders and Responsible Citizens

Mizengo Pinda Campus, Sokoine University of Agriculture—21 November 2025 Sokoine University of Agriculture (SUA), Mizengo Pinda Campus, has concluded a...