Rasi wa Kampasi ya Mizengo Pinda Prof Josiah Katani awaongoza wafanayakazi na wanafunzi wa Kampasi ya Mizengo Pinda katika zoezi la upimaji wa usikivu wa masikio

Zoezi la upimaji wa usikivu liliratibiwa na Watalamu kutoka Kitengo cha Elimu Jumuishi na Mahitaji Maalum wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chini ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET).

Mtaalamu wa afy ya masikio Mr Lukonge John akimfanyia vipimo Prof Josiah Katani katika zoezi la upimaji wa usikivu wa masikio

Katika picha ni baadhi ya watumishi wa Kampasi ya Mizengo Pinda waliojitokeza katika zoezi la upimaji wa usikivu wa masikio

Katika picha ni baadhi ya wanafunzi wa Kampasi ya Mizengo Pinda waliojitokeza katika zoezi la upimaji wa usikivu wa masikio

Related Posts

Student Government Leader Donates Study Benches to Enhance Campus Life.

  William Cosmas Bulongo, Chairperson of the Sokoine University of Agriculture Student Organisation (SUASO), Mizengo Pinda Campus, recently presented study...

Mafunzo Elekezi kwa Wafanyakazi wa Kampasi ya Mizengo Pinda kuhusu Ujazaji wa Mfumo wa Taarifa za Utendaji Kazi na Usimamizi wa Wafanyakazi wa Umma (PEPMIS).

Mafunzo ya kipekee yaliyofanyika katika Kampasi ya Mizengo Pinda yameleta mwanga mpya kwa wafanyakazi. Mafunzo hayo, yaliyoandaliwa na Ofisi ya...

Chairperson Professor Josiah Katani Conducts a Special Academic Committee Meeting at Mizengo Pinda Campus.

The Principal, Prof. Josiah Katani plays a pivotal role in overseeing the proceedings and ensuring that the committee’s recommendations align...