Rasi wa Kampasi ya Mizengo Pinda Prof Josiah Katani awaongoza wafanayakazi na wanafunzi wa Kampasi ya Mizengo Pinda katika zoezi la upimaji wa usikivu wa masikio

Zoezi la upimaji wa usikivu liliratibiwa na Watalamu kutoka Kitengo cha Elimu Jumuishi na Mahitaji Maalum wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chini ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET).

Mtaalamu wa afy ya masikio Mr Lukonge John akimfanyia vipimo Prof Josiah Katani katika zoezi la upimaji wa usikivu wa masikio

Katika picha ni baadhi ya watumishi wa Kampasi ya Mizengo Pinda waliojitokeza katika zoezi la upimaji wa usikivu wa masikio

Katika picha ni baadhi ya wanafunzi wa Kampasi ya Mizengo Pinda waliojitokeza katika zoezi la upimaji wa usikivu wa masikio

Related Posts

Development in Progress: DC Mwanga Inspects Academic and Dormitory Buildings at SUA Mizengo Pinda Campus

The District Commissioner of Mlele, Hon. Alhaj Majid Mwanga, conducted an official visit to the Mizengo Pinda Campus of Sokoine...

Youth Should Embrace Entrepreneurship Opportunities – RC Mrindoko

Katavi Regional Commissioner, Hon. Mwanamvua Mrindoko, has encouraged young people, particularly graduates from higher learning institutions, to take advantage of...

Capacity Building Workshop for Academic Staff and Researchers

As part of ongoing efforts to enhance higher education and research, Prof. Robinson Mdegela and Prof. Gration Rwegasira have conducted...