Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda atembelea banda la chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya nanenane yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya

Prof Adolf Mkenda akisaini kitabu cha wageni wanaotembelea banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya Nanenane

Prof Adolf Mkenda akipokea maelezo kutoka kwa Ndugu Naftari Leha ambaye ni Mwanafunzi anayetarajia kuhitimu mwaka huu katika Shahada ya Sayansi ya Usimamizi wa Rasilimali Nyuki katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda

Prof Adolf Mkenda akipokea zawadi ya asali na mafuta ya alizeti kutoka kwa Naibu Rasi wa Kampasi ya Mizengo Pinda Prof Jeremia Makindara kwa niaba ya Chuo 

 

Related Posts

ten Better Black-jack Web sites 2024: Play Best Black-jack Games on the net for real Money

Blogs Ideas on how to Choose an informed On the internet Blackjack for real Currency United states Websites What are...

Best United states Online casinos: Top American Casino Website Ratings

Blogs Finest Local casino California for Support service Video game Models for Mr. Gamble’s Best Casinos on the internet The...

Better Washington Online casinos inside 2025 Best AZ Playing Websites

Content Realistic Bonuses Popular Posts Greatest Casinos on the internet in australia to own 2025 Respected Online Betting Internet sites...