Viongozi mbalimbali wa Serikali waendelea kutembelea banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya Nanenane yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya

Viongozi hao ni pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Songwe Mhe. Solomoni Itunda ambaye amepata fursa ya kujionea bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na Kampasi ya Mizengo Pinda kutokana na shughuli za ufugaji wa nyuki na kilimo.

Mhe. Solomoni Itunda akisalimiana na Naibu Rasi wa Kampasi ya Mizengo Pinda Prof Jeremia Makindara alipotembelea banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya Nanenane

Mhe. Solomoni Itunda akipata maelezo juu ya bidhaa mbalimbali zinazopatikana katika banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya Nanenane

Viongozi wengine ni pamoja na Dr Elirehema J. Doriye ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima ya Taifa (NIC Insurance). Mbali na mambo mengine Dr Elirehama alipata fursa ya kupata ufafanuzi wa mambo mbalimbali kutoka kwa wataalamu wetu waliopo katika banda hilo.

Dr Elirehema J. Doriye akisalimiana na Naibu Rasi wa Kampasi ya Mizengo Pinda Prof Jeremia Makindara alipotembelea banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya Nanenane

Dr Elirehema J. Doriye akipata ufafanuzi wa masuala mbalimbali kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Idara ya Sayansi ya Kilimo Ndugu Elisha Rutha alipotembelea banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya Nanenane

Dr Elirehema J. Doriye akiagana na Naibu Rasi wa Kampasi ya Mizengo Pinda Prof Jeremia Makindara alipotembelea banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya Nanenane

Banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda limetembelewa pia na Mkuu wa Kitengo cha Kilimo kutoka AZANIA BANK Ndugu Augustino Matutu ambaye pia ni mwanafunzi wa kwanza katika kozi ya Agri business inayotolewa na  Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA).

Ndugu Augustino Matutu akisalimiana na Naibu Rasi wa Kampasi ya Mizengo Pinda Prof Jeremia Makindara alipotembelea banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya Nanenane

Ndugu Augustino Matutu akipokea kipeperushi kutoka kwa  Naibu Rasi wa Kampasi ya Mizengo Pinda Prof Jeremia Makindara alipotembelea banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya Nanenane

 

Related Posts

Student Government Leader Donates Study Benches to Enhance Campus Life.

  William Cosmas Bulongo, Chairperson of the Sokoine University of Agriculture Student Organisation (SUASO), Mizengo Pinda Campus, recently presented study...

Mafunzo Elekezi kwa Wafanyakazi wa Kampasi ya Mizengo Pinda kuhusu Ujazaji wa Mfumo wa Taarifa za Utendaji Kazi na Usimamizi wa Wafanyakazi wa Umma (PEPMIS).

Mafunzo ya kipekee yaliyofanyika katika Kampasi ya Mizengo Pinda yameleta mwanga mpya kwa wafanyakazi. Mafunzo hayo, yaliyoandaliwa na Ofisi ya...

Chairperson Professor Josiah Katani Conducts a Special Academic Committee Meeting at Mizengo Pinda Campus.

The Principal, Prof. Josiah Katani plays a pivotal role in overseeing the proceedings and ensuring that the committee’s recommendations align...