Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda atembelea banda la chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya nanenane yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya

Prof Adolf Mkenda akisaini kitabu cha wageni wanaotembelea banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya Nanenane

Prof Adolf Mkenda akipokea maelezo kutoka kwa Ndugu Naftari Leha ambaye ni Mwanafunzi anayetarajia kuhitimu mwaka huu katika Shahada ya Sayansi ya Usimamizi wa Rasilimali Nyuki katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda

Prof Adolf Mkenda akipokea zawadi ya asali na mafuta ya alizeti kutoka kwa Naibu Rasi wa Kampasi ya Mizengo Pinda Prof Jeremia Makindara kwa niaba ya Chuo 

 

Related Posts

Mostbet On Line Casino Cz Oficiální Stránky Přihlášení A Sázky Online”

Site Oficial De Cassino On The Internet E Apostas Simply No Brasil Content Variedade De Eventos Para Apostas League Associated...

aplicativo 1Win Aviator

Jogar sem descarregar Apostas com reembolso Aplicativo 1Win Aviator As slots de casino online são uma forma emocionante de experimentar...

Мостбет: Онлайн Казино И Ставки в Бк Зеркало на Официальный Сайт Mostbet

Хотите Сыграть а Mostbet Com? Доступ Войти Здесь Content Популярные Мостбет Игры личный Кабинет Игрока: Функционал помощь С Регистрацией и...