Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda atembelea banda la chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya nanenane yanayofanyika kitaifa katika viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya

Prof Adolf Mkenda akisaini kitabu cha wageni wanaotembelea banda la Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda katika maonesho ya Nanenane

Prof Adolf Mkenda akipokea maelezo kutoka kwa Ndugu Naftari Leha ambaye ni Mwanafunzi anayetarajia kuhitimu mwaka huu katika Shahada ya Sayansi ya Usimamizi wa Rasilimali Nyuki katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda

Prof Adolf Mkenda akipokea zawadi ya asali na mafuta ya alizeti kutoka kwa Naibu Rasi wa Kampasi ya Mizengo Pinda Prof Jeremia Makindara kwa niaba ya Chuo 

 

Related Posts

“juega Gratis A Pine Of Plinko A Couple Of En Modo Demo

Cómo Jugar A Pinus Radiata Of Plinko Two Análisis De Los Angeles Tragaperras” Content Ventajas Y Desventajas Para Pine Of...

Казино Комета официальный Сайт Вход только Регистрация

Комета Казино Oфициальный Сайт Казино Kometa Casino Content как Проходит Процесс Регистрации В Комета Казино? Рабочее Зеркало Kometa Казино —...

Capitolbet Bahis Ve On Line Casino Sitesi

Casino Guess Sitelerinin Adresleri Giriş Adresleri On Line Casino Bet Television Arranged Canlı Maç İzle Content Capitolbet Giriş Lordcasino Giriş...