Yahaya Ibrahimu

By

Zoezi la upimaji wa usikivu liliratibiwa na Watalamu kutoka Kitengo cha Elimu Jumuishi na Mahitaji Maalum wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chini ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET). Mtaalamu wa afy ya masikio Mr Lukonge John akimfanyia vipimo Prof Josiah Katani katika zoezi la upimaji wa usikivu wa...
Read More
Semina iliyolenga kuwajengea uwezo wa namna ya kuwatambua watu wenye mahitaji maalum na namna ya kuwahudumia katika kufanikisha utoaji wa elimu jumuishi iliendeshwa na wataalamu mbalimbali wakiongozwa na Dr Thabita Lupesa ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Elimu Jumuishi na Mahitaji Maalum wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chini ya Mradi wa Elimu ya...
Read More
Hafra fupi ya kuwaapisha viongozi wapya wa Serikali ya wanafunzi kampasi ya Mizengo Pinda iliongozwa na Prof Anna Sikira (Naibu Rasi Taaluma Kampasi ya Mizengo Pinda). Mara baada ya zoezi la kuwaapisha viongozi hao, Prof Sikira alipata wasaa wa kutoa nasaha fupi kwa viongozi wote waliokula kiapo cha uongozi, ambapo amewataka viongozi walioapishwa  kuiongoza Serikali...
Read More
Beekeeping is essential to sustainable agriculture, as it helps pollinate crops and increase yields. The study of beekeeping for crop scientists is a crucial skill for diversifying activities, generating additional sources of income, and opening up self-employment opportunities in agriculture. It provides an excellent opportunity for risk management as it diversifies income streams, reduces the...
Read More
The Sokoine University of Agriculture- Mizengo Pinda Campus (SUA – MPC) congratulate Ms. Happiness C. Bupamba for being an innovative with the best research idea “Exploring the influence of Agro-pastoralists’ practices on Human-Wildlife interactions in the Katavi-Rukwa ecosystem”. Your hard work, dedication, and creativity have paid off. This is a well-deserved achievement, and it’s a...
Read More
Dr. Mshindo Msolla alipata nafasi hiyo ya kutembelea Chuo Kikuu Cha Sokoine Cha Kilimo Kampasi ya Mizengo Pinda wakati ya ziara yake ya kuwaendeleza wakulima wa nyanda za juu kusini kwa kuwaelimisha matumizi bora ya mbolea katika mazao. Rasi wa Kampasi ya Mizengo Pinda Prof. Josiah Katani akiwa  na mgeni wake Dr. Mshindo Msolla  Mkurugenzi...
Read More
Katika zoezi hilo, Prof. Katani aliambatana na Naibu Rasi wa Ndaki Mipango, Utawala na Fedha Prof. Jeremia Makindara, Bwana Shamba wa Kamapasi ya Mizengo Pinda ndugu Tambalu Alphonsi pamoja na Mhadhiri Msaidizi katika fani ya Misitu ndugu Evaristus Magani. Ukaguzi huo ulilenga kuangalia namna bora ya uboreshwaji wa uwekaji wa mabango ya makatazo ya uingizwaji...
Read More
To capacitate students with practical skills of solving problems using scientific procedures and research ethics, students are assessed their ability and understanding on subject matter planned for research. The current intake has focused their research in bee resources commercialization, the interaction of human and natural resources, science of different organisms including insects, plants and animals....
Read More
1 2 3 4