Katika jitihada za kusogeza elimu ya juu karibu na jamii na kuibua hamasa ya kimasomo, Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), kupitia Kampasi yake ya Mizengo Pinda, kimehitimisha ziara maalum ya utoaji wa hamasa na elimu ya udahili katika shule kumi (10) za sekondari ndani ya Halmashauri ya Mpimbwe. Ziara hiyo ililenga mahususi wanafunzi […]










