Latest News

Category

Chuo Kikuu Cha Sokoine Cha Kilimo (SUA), Kampasi Ya Mizengo Pinda Inawakaribisha Watu Wote Kutembelea Mabanda Ya Chuo Katika Maonesho Ya Thelathini Ya Wakulima, Wafugaji Na Wavuvi (NANE NANE)   Yanayo Fanyika Kitaifa  Katika Viwanja Vya John Mwakangale Jijini Mbeya Kuanzia Tarehe 01/08/2023 Wote Mnakaribishwa.            
Read More
Zoezi la upimaji wa usikivu liliratibiwa na Watalamu kutoka Kitengo cha Elimu Jumuishi na Mahitaji Maalum wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chini ya Mradi wa Elimu ya Juu kwa Mageuzi ya Kiuchumi (HEET). Mtaalamu wa afy ya masikio Mr Lukonge John akimfanyia vipimo Prof Josiah Katani katika zoezi la upimaji wa usikivu wa...
Read More
Semina iliyolenga kuwajengea uwezo wa namna ya kuwatambua watu wenye mahitaji maalum na namna ya kuwahudumia katika kufanikisha utoaji wa elimu jumuishi iliendeshwa na wataalamu mbalimbali wakiongozwa na Dr Thabita Lupesa ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Elimu Jumuishi na Mahitaji Maalum wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo chini ya Mradi wa Elimu ya...
Read More
Hafra fupi ya kuwaapisha viongozi wapya wa Serikali ya wanafunzi kampasi ya Mizengo Pinda iliongozwa na Prof Anna Sikira (Naibu Rasi Taaluma Kampasi ya Mizengo Pinda). Mara baada ya zoezi la kuwaapisha viongozi hao, Prof Sikira alipata wasaa wa kutoa nasaha fupi kwa viongozi wote waliokula kiapo cha uongozi, ambapo amewataka viongozi walioapishwa  kuiongoza Serikali...
Read More
Herbaria Preparation
First year students pursuing a Bachelor of Science in Bee Resources Management at Sokoine University of Agriculture, Mizengo Pinda Campus, got an opportunity to visit the Uluguru Mountains. This is part of their Field Practical Training which allows them to put their knowledge and skills into practice in a real-world environment. The practical sessions included...
Read More
Maadhimisho ya siku ya nyuki duniani yalifanyika kitaifa mkoani Singida, katika viwanja vya Bombadia yakiambatana na maonesho yaliyoana Mei 18 - 21, 2023
Read More
Beekeeping is essential to sustainable agriculture, as it helps pollinate crops and increase yields. The study of beekeeping for crop scientists is a crucial skill for diversifying activities, generating additional sources of income, and opening up self-employment opportunities in agriculture. It provides an excellent opportunity for risk management as it diversifies income streams, reduces the...
Read More
The 20th Annual Scientific Meeting (ASM) and 28th Annual General Meeting (AGM) of TAF are scheduled to take place on the 22nd and 23rd of November, 2023, respectively, in Morogoro, Tanzania. ANNOUNCEMENT OF THE 20th ANNUAL SCIENTIFIC MEETING 2023 AND 28th ANNUAL GENERAL MEETING
Read More
IMANI za kishirikina zinaelezwa kuwazuia wanawake kushiriki katika shughuli za uvuvi wa samaki kwenye maziwa na bahari
Read More
The Sokoine University of Agriculture- Mizengo Pinda Campus (SUA – MPC) congratulate Ms. Happiness C. Bupamba for being an innovative with the best research idea “Exploring the influence of Agro-pastoralists’ practices on Human-Wildlife interactions in the Katavi-Rukwa ecosystem”. Your hard work, dedication, and creativity have paid off. This is a well-deserved achievement, and it’s a...
Read More
1 2 3 4 5 6